Pages

Slider

Tuesday, March 13, 2012

Kamera Ya Mtaa Kwa Mtaa na Matukio Mbali Mbali ya jijini Dar leo

Waendesha Boda Boda wakiwa kwenye msafara wa kwenda mazikoni kumsindikiza mwenzao aliefariki Dunia kwenye nyumba yake ya milele.
 Kama kawaida,Jiji letu ikinyesha mvua hata kama ni lita mbili,maji ni kila kona na hayaondoki kwa haraka.
 Mbuzi wa Mzee nanihii wakiliendeleza libeneke la Mtaa wa Mtaa kama walivyonaswa leo na Kamera yetu.
 Mdau akitolea macho taka taka pembezoni mwa mtaro wa maji machafu maeneo ya Mikocheni A usoni mwa Mayfar Plaza.
 Nani kasema Bajaj inakwenda bila kidebe?
 Maghorofa yetu ya Kisasa yalivyojengwa.
 Pamoja na kwamba kuna kihifadhia taka lakini bado nyingine nyingi zipo chini.
 Wazee wa Long Parking jijini Dar wakimchimba mkwala dereva alieegesha sehemu isiyo rasmi (japo hakuna ishara yeyote inayoonyesha kama hapo sio sehemu rasmi kwa kuegesha gari).
 kama kawa kama dawa.
 Fundi akisubiria wateja.
Bustani ya Posta ya Zamani.

0 comments:

Post a Comment

Blog Designed by The Single Momoirs